Kaizari Joseph I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaizari Joseph I

Joseph I (26 Julai 167817 Aprili 1711) alikuwa Kaizari wa Dola la Ujerumani kuanzia 1705 hadi kifo chake. Alimfuata baba yake, Leopold I, na kufuatiwa na Karoli VI.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Ujerumani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kaizari Joseph I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.