Jumanne Maghembe
Mandhari
(Elekezwa kutoka Jumanne Abdallah Maghembe)

Profesa Jumanne Abdallah Maghembe (amezaliwa 1 Januari, 1970) ni mbunge wa jimbo la Mwanga katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.[2]
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Mengi kuhusu Jumanne Abdallah Maghembe". 1 Februari 2007. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
- ↑ https://peoplepill.com/people/jumanne-maghembe/
Viungo vya nnje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti ya Bunge la Tanzania
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jumanne Maghembe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |