Josephine Joseph Lagu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Josephine Joseph Lagu ni Mwanasiasa kutoka nchi ya Sudani Kusini na pia ni Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula mpaka hapo mwaka 2022.[1][2] Yeye ni binti wa Joseph Lagu.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]