John Sebastian

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
John Sebastian akiwa anaimba

John Sebastian (alizaliwa Machi 17, 1944) ni mwimbaji wa Marekani,[1][2] mtunzi wa nyimbo na mwanamuziki aliyeanzisha bendi ya muziki ya rock The Lovin' Spoonful. Alifanya mwonekano wa papo hapo katika tamasha la Woodstock mwaka 1969 na wimbo wake kuwa wa 1 huko Marekani mwaka wa 1976 na "Welcome Back".[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Clemente, T.J. (June 24, 2019). John Sebastian: A Cog in the Wheel of the Greatest Musical Cultural Sea Change Known to Man. Hamptons.com.
  2. Rock & Roll Hall of Fame – Lovin' Spoonful Biography Archived Agosti 10, 2011, at the Wayback Machine, rockhall.com. Retrieved June 4, 2015.
  3. Besonen, Julie. "How 'Summer in the City' Became the Soundtrack for Every City Summer (Published 2018)", The New York Times, 2018-08-09. (en-US) 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Sebastian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.