Nenda kwa yaliyomo

Jesca Ruth Ataa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jesca Ruth Ataa ni mtetezi wa haki za binadamu wa Uganda, mwanaharakati na kiongozi wa wanaharakati wanawake vijijini Nakere (NARWOA), shirika la kijamii huko Kotido, Karamoja. [1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "IGAD lauds Uganda over development-oriented land policy". New Vision (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-05-24.
  2. "Dr Spire, two others shortlisted for EU human rights award". Monitor (kwa Kiingereza). 2024-04-02. Iliwekwa mnamo 2024-05-24.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jesca Ruth Ataa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.