Nenda kwa yaliyomo

Jack Lerole

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Aaron "Big Voice Jack" Lerole (c. 1940 - 12 Machi 2003) alikuwa mwimbaji na mpiga filimbi wa penny wa nchini Afrika Kusini. Lerole alikuwa mwimbaji mkuu katika muziki wa kwela wa 1950 Kusini Afrika. Lerole alikuwa kiongozi wa bendi ya Elias na Zig-Zag Jive Flutes yake, ambaye alikuwa na rekodi ya kimataifa mnamo 1958 na "Tom Hark". Alianzisha bendi ya mseto ya Mango Groove mwaka 1984, na baadaye akashirikiana na Dave Matthews Band, bendi ya roki kutoka Marekani.

Alikuwa kiongozi wa kundi wa kundi la Elias and His Zig-Zag Jive Flutes, ambayo "Tom Hark" ilipata mafanikio ya kimataifa mwaka wa 1958. Mnamo mwaka 1963, Lerole aliachia kundi hilo na kuanza kazi yake ya solo. Wimbo wake wa solo "(Blues Ngaphansi = kwa kiswahili, "blues chini ya ardhi / chini ya uso" -maana liko la huzuni/ laini) ulimsaidia sana kupata umaarufu.

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jack Lerole kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.