Ikulu ya Zanzibar
Ikulu ya Zanzibar ilisanifiwa hapo awali na msanifu majengo John Sinclair kutoka Uingereza. Jengo lilibuniwa mnamo 1903 kuwa makazi ya Waingereza.[1][2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://www.lonelyplanet.com/tanzania/zanzibar-archipelago/zanzibar-unguja/attractions/state-house/a/poi-sig/1453553/355668
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2021-05-12. Iliwekwa mnamo 2021-05-12.