Hifadhi ya Taifa ya Lavushi Manda
Hifadhi ya Taifa ya Lavushi Manda, ni mbuga ya taifa katika mkoa wa Muchinga nchini Zambia yenye eneo la kilomita za maraba 1,500. [1] Ni ya 11 kwa ukubwa kati ya mbuga 20 za taifa nchini Zambia. [2]
Hifadhi hiyo hapo awali ilitangazwa kuwa hifadhi ya wanyama mwaka 1941. na ilitangazwa kuwa Hifadhi ya Taifa mwaka wa 1972. [2] Inapatikana katika Mkoa wa Muchinga, [3] katika wilaya yenye jina moja ( Lavushimanda ), pamoja na Hifadhi ya taifa ya Luangwa Kusini katika Wilaya jirani ya Mpika . [2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Zambia Tourism - Lavushi Manda National Park". Iliwekwa mnamo 6 April 2021. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ 2.0 2.1 2.2 "Lavushimanda". Provincial Administration, Muchinga Province. SMART Zambia Institute. 2018. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-01-18. Iliwekwa mnamo 6 April 2021. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ "Fishing the hidden rivers of Lavushi". Lavushi Manda National Park. Kasanka Trust. 2017. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-03-20. Iliwekwa mnamo 6 April 2021. Check date values in:
|accessdate=
(help)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |