Henderson, Nevada

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Henderson)
Muonekano wa mji wa Henderson

Henderson, Nevada ni mji wa Marekani katika jimbo la Nevada, takribani maili 16 kusini-mashariki mwa Las Vegas.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2010, mji una wakazi wapatao 258,000 hivi. Ni jiji la pili kwa ukubwa huko Nevada, baada ya Las Vegas.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Henderson, Nevada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.