Hary Gunarto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gunarto

Hary Gunarto (1954~ ) ni mwanasayansi wa utafiti aliyehitimu kutoka Chuo Kikuu cha Washington State (Marekani) na profesa katika Chuo Kikuu cha Ritsumeikan Asia Pacific (APU), Japan [1]. Maslahi yake ya utafiti ni katika teknolojia ya vyombo vya habari vya kidijitali na uhifadhi wa kidijitali wa maeneo ya urithi wa dunia wa UNESCO [2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]