Haki za binadamu nchini Cuba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Haki za binadamu nchini Cuba ziko chini ya uangalizi wa mashirika ya kutetea haki za binadamu ya nchi za Magharibi, ambayo yanaituhumu serikali ya Cuba kwa kutekeleza ukiukwaji wa haki za binadamu wa kimfumo dhidi ya watu wa Cuba, ikiwa ni pamoja na kufungwa jela kiholela na kesi zisizo za haki.[1][2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Human rights in Cuba", Wikipedia (in English), 2022-05-12, retrieved 2022-05-24 
  2. "Human rights in Cuba", Wikipedia (in English), 2022-05-12, retrieved 2022-05-24 
  3. "Human rights in Cuba", Wikipedia (in English), 2022-05-12, retrieved 2022-05-24