Gundi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gundi ikitoka katika chupa.

Gundi (kwa Kiingereza: Adhesive, glue, cement, mucilage au paste[1]) ni majimaji mazito yanayoweza kutokana na miti n.k. ambayo hutumika katika kugandisha au kuunganishia vitu mbalimbali, kwa mfano karatasi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Pike, Roscoe. adhesive. Encyclopædia Britannica Online. Encyclopædia Britannica Inc.. Iliwekwa mnamo 9 April 2013.