Guido Gorogolio Sigonda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Guido Gorogolio Sigonda (amezaliwa tar. 18 Septemba 1942) ni mbunge wa jimbo la Songwe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Guido Gorogolio Sigonda". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.