Gauthier Boccard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchezaji wa Mpira wa magongo Gauthier Boccard
Mchezaji wa Mpira wa magongo Gauthier Boccard

Gauthier Boccard (alizaliwa 26 Agosti 1991) ni mchezaji wa mpira wa magongo ya uwanjani wa Ubelgiji ambaye anacheza kama mlinzi au kiungo wa Waterloo Ducks na timu ya taifa ya Ubelgiji.

Katika Ligi ya Ulaya 2018-19, timu ya Boccard Waterloo Ducks ilikuwa klabu ya kwanza ya Ubelgiji kushinda Ligi za mchezo wa magongo Ulaya.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]