Gassan Ahadme

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gassan Ahadme Yahyai (amezaliwa 17 Novemba 2000) ni mchezaji soka mtaalamu anayecheza katika klabu ya Kiingereza, Ipswich Town, kama mshambuliaji wa pili. Alizaliwa nchini Hispania, na anawakilisha Moroko katika ngazi ya kimataifa ya vijana.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gassan Ahadme kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.