Fuya Godwin Kimbita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Fuya Godwin Kimbita (amezaliwa tar. 7 Mei 1967) ni mbunge wa jimbo la Hai katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Fuya Godwin Kimbita". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.