Emmanuel Jumanne Luhahula
Emmanuel Jumanne Luhahula (amezaliwa 30 Januari, 1964) ni mbunge wa jimbo la Bukombe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mengi kuhusu Emmanuel Jumanne Luhahula (25 Aprili 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |