ECOSOC

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ukumbi wa ECOSOC, New York.

ECOSOC ni kifupisho cha Economic and Social Council (of UN) yaani Baraza la Kijamii na la Kiuchumi (la Umoja wa Mataifa). Ilianzishwa mwaka 1945.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu "ECOSOC" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.