Douglas Tallamy

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Douglas Tallamy ni mtaalamu wa wadudu, mwanaikolojia na mhifadhi kutoka Marekani. Ni profesa katika Idara ya Entomolojia na Ikolojia ya Wanyamapori katika Chuo Kikuu cha Delaware.[1] Ameandika na kushiriki uandishi wa vitabu kadhaa, pamoja na karatasi nyingi.

Tallamy hutetea bustani za nyumbani na mandhari ambayo huziba mapengo kati ya bustani na hifadhi katika kutoa makazi kwa spishi asilia.[2][3] Amezungumza juu ya uhusiano kati ya mimea na wadudu na jinsi uhusiano huo ni muhimu kwa ndege.[4] Ametoa wito kwa viwanja yenye nyasi ndogo vinazotunzwa vizuri. Alihojiwa kuhusu hitaji la kupanda mimea asilia zaidi na Utah Public Radio.[5]

Tallamy amesimamia tafiti kali za nyanjani ambazo huchunguza mimea asilia dhidi ya mimea iliyoletwa kama mwenyeji wa viwavi na makazi ya chickadee.[6]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Doug Tallamy". Center for Humans & Nature. 
  2. "Author Doug Tallamy virtually coming to town | Brigantine". pressofatlanticcity.com. 5 November 2020.  Check date values in: |date= (help)
  3. "Learn how to use your yard to save nature's ecosystems". Daily Herald. 
  4. "Doug Tallamy To Present 'A Chickadee's Guide To Gardening'". 27east.com. September 9, 2019.  Check date values in: |date= (help)
  5. Williams, Tom (28 April 2020). "'Nature's Best Hope' With Douglas Tallamy On Tuesday's Access Utah". Utah Public Radio.  Check date values in: |date= (help)
  6. Donahue, Michelle (2017-07-27). "New Research Further Proves Native Plants Offer More Bugs for Birds". Audubon. Iliwekwa mnamo 2020-11-29. 
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Douglas Tallamy kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.