Nenda kwa yaliyomo

Craig Candeto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Craig Candeto amezaliwa Machi 6, 1982 ni kocha wa mpira wa Futiboli ya Marekani na mchezaji wa zamani. Alikuwa kocha wa wachezaji wa wabeba mpira katika Chuo Kikuu cha Jimbo la Austin Peay. Candeto aliwahi kuwa kocha mkuu wa timu ya Futiboli katika Chuo Kikuu cha Capital kilichopo Columbus, Ohio kutoka mwaka 2013 hadi mwaka 2015.[1][2]


  1. Lambrecht, Gary (Oktoba 25, 2003). "Candeto is Navy's turnaround artist". The Baltimore Sun. Iliwekwa mnamo Februari 11, 2020.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Van Valkenburg, Kevin (Agosti 30, 2002). "Candeto steps to the plate". The Baltimore Sun. Iliwekwa mnamo Februari 11, 2020.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)