Christopher Olonyokie Ole Sendeka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Christopher Olonyokie Ole Sendeka (amezaliwa 1 Januari, 1964) ni mbunge wa jimbo la Simanjiro katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Christopher Olonyokie Ole Sendeka". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.