Nenda kwa yaliyomo

Christopher Olonyokie Ole Sendeka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Christopher Olonyokie Ole Sendeka (amezaliwa 1 Januari, 1964) ni mbunge wa jimbo la Simanjiro katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Mengi kuhusu Christopher Olonyokie Ole Sendeka". 17 Julai 2006. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Christopher Olonyokie Ole Sendeka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.