Carmen Gheorghe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Carmen Gheorghe ni mwanaharakati ambaye anafanyia kazi haki za wanawake wa Waromani. Yeye ni rais wa E-Romnja ambayo inakuza haki za wanawake wa kabila hilo. Alitunukiwa tuzo ya kimataifa ya wanawake ya ujasiri mnamo 2022.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Carmen Gheorghe (Romania) | Bureau of Educational and Cultural Affairs". eca.state.gov (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-12-24. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Carmen Gheorghe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.