Borlänge
Mandhari


Borlänge ni mji nchini na manispaa Uswidi. Kuna wakazi 39,422 (mwaka 2005). Mji ulianzishwa 1944. Kuna pia Chuo Kikuu cha Dalarna.
Jiografia
[hariri | hariri chanzo]Eneo lake ni 34.13 km².
-
Kupolen (shopping centre)
-
Kanisa la Ujumbe katika Borlänge
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- www.borlange.se Ilihifadhiwa 17 Machi 2009 kwenye Wayback Machine.
- Chuo Kikuu cha Dalarna
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Borlänge kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |