Billboard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Billboard ni jarida la Kimarekani ambalo hutolewa kila wiki kwa ajili ya soko la muziki. Hii huhesabiwa mara kwa mara kama 'kitu adimu sana' katika masuala ya burudani, na chapisho rasmi la soko la muziki; na linahesabiwa kama moja ya jarida linaloelezea habari za muziki tu bila kuchanganya habari nyingine mbali na muziki. Inaelezea chati za rekodi za kimataifa na nyimbo na albamu maarufu katika uainisho mbalimbali kwa wiki. Miongoni mwa chati muhimu sana ni pamoja na Billboard Hot 100 inatathmini nyimbo 100 bora bila kutazama aina ya nyimbo na kuchukuliwa kama kipimop sanifu cha kutathmini nyimbo hizo kwa Marekani, wakati Billboard 200 inatupia macho kwenye matokeo ya mauzo ya albamu.

Soma zaidi[hariri | hariri chanzo]

  • Durkee, Rob. American Top 40: The Countdown of the Century. Schriner Books, New York City, 1999.
  • Battistini, Pete, American Top 40 with Casey Kasem The 1970s. Authorhouse.com, 31 Januari 2005. ISBN 1-4184-1070-5.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Billboard kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.