Berd

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Berd

Berd (kwa Kiarmenia: Բերդ; zamani uliitwa: Berrdagyugh, Berrdgyugh, T’avuzghala, T’auzk’end, T’ovuz, T’ous, Taua Kale, T’auzkala, Taya-Kala, Tovuzkala, Bert, T’ous Gale, Volorut, Shlorut, Ghalak’yand, na T’uzukala) ni mji uliopo nchini Armenia kwenye mkoa wa Tavush. Mji huu huhesabiwa kama kitovu cha kanda ya maeneo ya Shamshadin. Upo upande wa kushoto mwa mto Tavush, takribani kilomita 211 kutoka mjini Yerevan. Mji umezungukwa na vilima.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Berd kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.