Baba Krismasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
20121123 SantaClaus-Chicago.JPG

Baba Krismasi ni mtu wa kufikirika anayedhaniwa kuleta zawadi hasa kwa watoto wema usiku wa Noeli.

Asili yake ni mtu halisi, mtakatifu Nikolasi wa Myra, askofu aliyejulikana kwa ukarimu wake. Ndiyo sababu kwa kawaida kwa Kiingereza anaitwa Santa Claus (yaani Mtakatifu Nikolaus).

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Christianity Symbol.png Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Baba Krismasi kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.