Arthur Schopenhauer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makala hii ina dalili ya kutungwa kwa kutegemea programu ya kompyuta kama "google translation" au "wikimedia special:content translation" bila masahihisho ya kutosha. Watumiaji wanaombwa kuchunguza lugha, viungo na muundo wake tena. Wakiridhika na hali yake wanaweza kuondoa kigezo hiki kinachoonekana kwenye dirisha la kuhariri juu ya matini ya makala kwa alama za {{tafsiri kompyuta}} .

Arthur Schopenhauer

Arthur Schopenhauer (22 Februari 1788 - 21 Septemba 1860) alikuwa mwanafalsafa wa Ujerumani.

Anajulikana kwa kazi yake ya mwaka 1818 Dunia kama Willi na Uwakilishi (kupanuliwa mwaka wa 1844), ambako anafafanua ulimwengu wa matukio kuwa uzao wa dhamira ya kimetafizikia ambayo ni kipofu na isiyotosheka. Kutoka kwa dhana vukavu bara la uzoefu (Transendental idealism) ya Immanuel Kant, Schopenhauer alibuni mfumo wa kimetafizikia na wa kimaadili ambao haukuwa na Mungu ambao umeelezewa kuwa mfano wa falsafa za uhasi wa maisha (philosophical pessimism). Alikataa falsafa za rika lake za dhana kwamba ulimwengu ulitegemea michakato ya kikakili kwa kuwepo kwake; dhana zilizotawala falsafa za Ujerumani Karne hiYo (German Idealism). Schopenhauer alikuwa miongoni mwa wasomi wa kwanza katika falsafa  ya Magharibi kushiriki na kuthibitisha mambo muhimu ya falsafa ya Mashariki (kwa mfano, utawa, ulimwengu-kama-kuonekana), baada ya kufikia hitimisho sawa kama matokeo ya kazi yake ya falsafa.  

Ingawa kasi yake haikupata umaarufu wa kutajika wakati alikuWa hai, Schopenhauer amekuWa na ushawishi mkubwa baada ya kifo chake kupitia kazi zake katika nyanja kadhaa, zikiwemo falsafa, fasihi na sayansi.

Maandishi yake juu ya esthete, maadili na saikolojia ilikua na ushawishi wa mkubwa kwa wasomi na wasanii wengi wa karne za 19 na 20. Wale wamemtaja nikama Friedrich Nietzsche, Richard Wagner, Leo Tolstoy, Ludwig Wittgenstein, Erwin Schrödinger, Otto Rank, Gustav Mahler, Joseph Campbell, Albert Einstein, Carl Jung, Thomas Mann, Emile Zola, George Bernard Shaw, Guy de Maupassant, Jorge Luis Borges na Samuel Beckett.

Fikira[hariri | hariri chanzo]

Falsafa ya "Willi"[hariri | hariri chanzo]

Lengo muhimu la Schopenhauer Lilikuwa uchunguzi wake wa motisha ya mtu binafsi. Kabla ya Schopenhauer, Hegel alikua amemaarufisha dhana ya Zeitgeist, dhana kwamba jamii ikona fahamu unganifu ya pamoja ambayo inayosafiri kwa njia teule, na inatawala vitendo vya wanachama wake. Schopenhauer, msomaji wa Kant na Hegel Wote, alikashifu dhana zao za mantiki chanya (Logical optimism) na imani kwamba maadili ya mtu binafsi inaweza kuongozwa na jamii au sababu tupu. Schopenhauer alishikilia imani kuwa binadamu alipata motisha kwa msingi ya uchu na dhamira zao wenyewe au Wille zum Leben ( "willi wa kuishi"), ambayo yote ya wanadamu huelekezwa. Willi, kwa mujibu wa Schopenhauer, ni kile Kant alichoita "kitu-ndani-yenyewe".

Kwa Schopenhauer, tamaa ya kibinadamu haikuwa na maana, haijulikani, haielewi, na, kwa upanuzi, hivyo hatua zote zakibinadamu zinaambulia patupu. Einstein alifalisi maoni haya kama ifuatavyo: "Mtu anaweza kufanya kile anachotaka, lakini hawezi willi kile anachotaka." Kwa maana hii, alizizingatia kanuni ya Fichte yaulimwengu akili-tegemezi: "Dunia ni kwa raia." Dhana hii umewasilishwa jinsi kwamba, hutumika moja kwa moja kwa kubuni mtazamo wa kimaadili, hii ni kinyume na Descartes na Berkeley waliozingatia masuala ya kiepistemologia pekee yake. Kwa mujibu wa Schopenhauer, Willi ni nguvu kipofu ambayo inatawala,sit u matendo ya watu binasfi, ihali maumbile yote ulimwenguni – na ni uovu ambao unapasawa kumalizwa na majukumu ya wanadamu: utawa na usafi wa moyo [40]. Ametambuliwa na kati moja ya mistari ya ufunguzi maarufu zaidi katika falsafa: "Dunia ni uwakilishi wangu." Friedrich Nietzsche aliathiriwa sana na wazo hili la Willi, ingawa hatimaye aliukataa.

Sanaa na esthete[hariri | hariri chanzo]

Kwa mujibu wa Schopenhauer, tamaa ya binadamu, "willi", na uchu husababisha mateso au maumivu. Njia ya muda mfupi ya kuepuka maumivu haya ni wa utafakari wakiusthete (kwa njia inayofanana na "Usablimashaji" wa Zapffe). Utafakari huu wakiusthete unaruhusu mtu kuepuka maumivu-hata hivyo kwa muda mfupi-kwa sababu hukomboa mtu kutokana kuona dunia kama tu mawasilisho. Badala yake, mtu husita kuangalia dunia kama kitu cha maonyesho  (kama raia chini ya katiba ya Kanuni za Misingi Yakutosha, wakati, nafasi na usababishi) ambapo mtu hupata kutengwanishwa; bali mtu anapata kunganishwa na  anakua mmoja na maonyesho: "mtu hataweza tena kutenganisha mtazamaji kutoka kwa mtazamo" (Dunia kama Willi, na Uwakilishi, sehemu ya 34). Kutokana na kuzamishwa huku, mtu haijioni tena kibinafsi kama anayekabiliwa na mateso duniani kwa sababu ya uchu wake badala yake, anakua “raia wa ujuzi”  kwa mtazamo ambao ni “safi, huru kutoka Willi, na wakati”( kifungu cha 34) ambapo kiini, "mawazo", ya dunia huonyeshwa. Sanaa ni dhana-tumizi zinazofuta huu utafakari mfupi wakiusthete ambapo inajaribu kuonyesha mtu amezamishwa ndani ya malimwengu, na hivyo hujaribu kuonyesha kiini / mawazo safi ya ulimwengu. Muziki, kwa mujibu wa Schopenhauer, ulikuwa ni aina safi kabisa ya sanaa Kwa sababu ilikuwa inaonyesha taswira ya  Willi wenyewe bila kuenekana kama raia chini ya Kanuni ya Misingi za Kutosha , hivyo kama kitu kimoja. Kulingana na Daniel Albright, "Schopenhauer alifikiri kwamba muziki ndiyo pekee ya sanaa ambayo haikunakili mawazo, badala yake ililchukua mfumo wa willi wenyewe."

Alizingatia muziki kama huru kutoka wakati, lugha yakiulimwengu inayojulikana kila mahali, ambayo inaweza kuchanjia mataifa yote na uchangamfu, ikiwa imechukua mafuatano ya sauti maarufu.

Maadili[hariri | hariri chanzo]

Nadharia ya maadili ya Schopenhauer ilipendekeza kwamba kuwa ni  huruma tu ambayo inaweza kuendesha vitendo vya maadili. Kwa mujibu wa Schopenhauer, huruma peke yake ndio zuri katika kitu cha matendo, yaani, hawawezi kuongozwa na tumaini la matumizi yakibinafsi au hisia ya wajibu. Wanadamu pia wanaweza kuongozwa na ubinafsi , ufisadi na chuki. Vitendo vya ubinafsi na ufisadi ni zile ambazo huongozwa na masilahi binafsi, tamaa ya taanasa au kujinufaisha. Schopenhauer aliamini mengi ya matendo yetu ni ya darasa hili. Matendo ya chuki ni tofauti na matendo ya kibinafsi. Kama ilivyo katika matendo ya huruma, haya haijalenga matumizi au manufaa ya mtu kibinafsi. Lengo la matendo haya ni kusababisha uharibifu kwa wengine, bila kujipatia faida binafsi. Aliamini, kama Swami Vivekananda katika umoja wa wote na nafsi na pia aliamini kwamba ubinafsi ndio asili ya maumivu na migogoro, kwamba kupunguza ubinafsi ndio inaunda mipaka ya kanuni za maadili.

Adhabu[hariri | hariri chanzo]

Kwa mujibu wa Schopenhauer, Wakati sisi hufanya uamuzi, "Sisi hudhani kwamba kama ni sharti uamuzi huo ulitanguliwa na jambo fulani ambapo ulipata kuibuka kutoka, na ni ile tunaitaita ‘msingi’ au ‘sababu’, au kwa usahihi zaidi ‘nia’, ya hatua iliyotekelezwa.”  Uchaguzi haufanyiki kwa uhuru. Matendo yetu hayawezi banduka na yameshapangwa mapema kwani "kila binadamu, hata kila kilicho hai, baada ya nia imeonekana, lazima apate kufanya hatua ambayo ni ya kipekee kwa mujibu wa tabia yake aliyozaliwa nayo na taratibu zisizobadilika." Hatua ya fulani dhahiri lazima ipate kutokea wakati ambapo nia maalum inaathiri tabia ya mtu ambayo amepewa na haibadiliki. Serikali, Schopenhauer alidai, huadhibu wahalifu kuzuia uhalifu wa baadaye. Inafanya hivyo kwa Kuweka "kando na kila nia inaweyozekana ya kufanya uhalifu nia ya nguvu zaidi ya kutoifanya, katika adhabu isiyoepukika. Kwa hiyo, kanuni ya jinai ni kama rejista kamili iwezekanavyo ya nia-pinganifu ya vitendo vyote jinai zinazoweza fikirika..”

... sheria na utimilifu wake, yaani adhabu, huelekezwa kimsingi kwa siku zijazo, si kwa siku za nyuma. Hii inatofautiana adhabu kwa kulipiza kisasi, kwani kulipiza kisasi kunahamasishwa na kilichotokea, na hivyo kwa siku za nyuma kama vile. Marejeleo yote ya kujibu mashambulizi kwa kusababisha maumivu fulani kwa wengine bila kuzingatia kokote kwa siku za usoni ni kulipisha kisasi, na haiwezi kua na lengo zaidi bali ile faraja kwa yale maumivu mtu amevumilia kwa kuona mateso yeye amemsababishia mwenzake. Kitu kama hicho ni uovu na ukatili, na haiwezi kuhalalishwa kimaadili .....  Nia ya adhabu.. ni kuepusha kutoka kwa uhalifu… Nia na azimio ya siku za usoni ndio inatenganisha adhabu na kulipisha kisasi, na kuadhibu ikona hii maana wakati tu inaitwa ili kutimiza sheria fulani.  Ni kwa njia hii tu ndio itaweza kutumika kwa namna isoyoepukika au kukosoleka kwa kesi zote za usoni; na hivyo inapea sheria nguvu ya kukomesha..

Je! Adhabu ya kifo inapaswa kuhalalishwa? “Ili kulinda maisha ya raia,”Schopenhauer alijibu, “adhabu ya kifo lazima zihitajike”. “Muaji, ambaye amehukumiwa kifo kwa mujibu wa sheria lazima atumike kama chombo, na haki kabisa. Ilikuzingatia usalama wa umma, ambao ndio wajibu mkuu wa serikali, na umepata kutishiwa na mtu huyu; kwa kikweli umepuuliziwa kama hukumu haijatekelezwa. Muuaji, maisha yake, utu wake, lazima awe chombo cha kutekeleza sheria, na hivyo rejesha usalama wa umma.” Schopenhauer alikataana na wale waliotaka adhabu ya kifo itupiliwe mbali. “Wale ambao wanaopendekeza ikomeshwe wanapaswa kupewa jibu:’ Kwanza toa mauaji kwa dunia, na kisha adhabu ya kifo itafuata”

Watu, kulingana na Schopenhauer, hawawezi kuimarishwa. Wanaweza kushawawishika tu na nia zenye nguzu zinazoshinda nia za uhalifu. Schopenhauer analitangaza kwamba “ubadilishaji wa maadili kwa kikweli haiwezekani kabisa, ila tu zuia njia kwa tendo..”

Alisema kwamba mafunzo haya hayakuwa na asili nayeye. Hapo mbeleni ilionekana kwa maandishi ya Plato, Seneca, Hobbes, Pufendorf, na Anselm Feuerbach. Schopenhauer alitangaza ya kwamba maadishi haya yalichafuliwa na makosa yaliyofuata na kwa hivyo ilikua na haja ya ufafanuzi.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Arthur Schopenhauer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.