Ararat, Armenia
Jump to navigation
Jump to search
Ararat (Kiarmenia: Արարատ; zamani iliitwa Davalu) ni mji uliopo nchini Armenia kwenye mkoa wa Ararat. Takriban km 42 kutoka mjini kaskazini-magharibi mwa mji wa Yerevan. Hapa ndipo katikati ya sekta ya ujenzi na na kituo cha reli kipo hapa.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Ararat, Armenia kwenye GEOnet Names Server
- World Gazeteer: Armenia – World-Gazetteer.com
- Report of the results of the 2001 Armenian Census
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ararat, Armenia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |