Ararat, Armenia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makumbusho ya vita vya pili vya dunia, Ararat

Ararat (kwa Kiarmenia: Արարատ; zamani uliitwa Davalu) ni mji uliopo nchini Armenia kwenye mkoa wa Ararat, takriban km 42 kutoka mjini kaskazini-magharibi mwa mji wa Yerevan. Hapa ndipo katikati ya sekta ya ujenzi na kituo cha reli.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ararat, Armenia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.