Abdi Hassan Mshangama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abdi Hassan Mshangama (amezaliwa 27 Januari, 1943) ni mbunge wa jimbo la Lushoto katika bunge la kitaifa tangu 2005 huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Abdi Hassan Mshangama". 25 Aprili 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.