Abab

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya Abab
Wimbo wa zamani wa Ogadenia (nchini Ethiopia)

Abab, ulikuwa Wimbo wa Taifa wa Ogadenia,ni nchi iliyopendekezwa na ONLF . Uliimbwa kwa Kisomali . Wimbo wa sasa wa taifa wa Ogadenia ni Qaran .

Marejeo[hariri | hariri chanzo]