Yaya Touré
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gnégnéri Yaya Touré (amezaliwa 13 Mei 1983) ni mchezaji mpira kutoka Cote d'Ivoire. Anachezea kilabu cha FC Barcelona nchini Hispania.
| Makala hii kuhusu mtu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Yaya Touré kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |