Warda Al-Jazairia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Warda Al Jazairia

[1]Warda Al-Jazairia (jina la kuzaliwa Warda Ftouki ( وردة فتوكي ); 22 Julai, 1939 - 17 Mei, 2012) alikuwa mwimbaji wa nchini Algeria mwenye asili ya Lebanon.

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Warda Ftouki alizaliwa huko Paris mnamo Julai 22, 1939. Baba yake, Mohammed Ftouki, alikuwa Mwalgeria kutoka Souk Ahras, na mama yake alikuwa Mlebanon. [2] Alikuwa mtoto wa mwisho kuzaliwa kati ya watoto watano.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mostyn, Trevor (2012-05-29), "Warda al-Jazairia obituary", The Guardian (kwa en-GB), ISSN 0261-3077, iliwekwa mnamo 2023-02-26 
  2. « La diva de la chanson arabe, Warda El Djazaïria, n'est plus… » [archive] , Alger Chaine 3, 18 mai 2012
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Warda Al-Jazairia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

}