Uwanja wa ndege wa Marrakesh Menara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uwanja wa ndege wa Marrakesh Menara ni uwanja wa ndege wa kimataifa unaowahudumia Marrakesh,[1] mji mkuu wa Marrakesh-mkoa wa safi uko Moroko. Ni kituo cha kimataifa ambacho kinapokea ndege nyingi za wazungu vile vile ndege zinazotokea Casablanka na baadhi ya mataifa ya kiarabu duniani. Uwo uwanja wa ndege ulihudumia abiria zaidi ya milioni 6.3 mnamo mwaka 2019.[2]

Historia[hariri | hariri chanzo]

Wakati wa vita vya pili vya dunia,uwanja huu wa ndege ulitumiwa na umoja wa dola za kijeshi jeshi la anga amri za usafiri wa anga kama kitovu cha mizigo, inayopitia ndege na wafanya kazi. Ilifanya kazi kama kituo cha njia ya kupitia uwanja wa ndege wa Casablanca au kupitia uwanja wa ndege wa Agadir wa Afrika ya kaskazini Cairo-Dakar njia ya usafiri wa mzigo, inayopitia ndege na wafanyakazi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Airport information for GMMX Archived 4 Machi 2016 at the Wayback Machine. from DAFIF (effective October 2006)
  2. "Marrakech". ONDA. Iliwekwa mnamo 13 March 2010.  Check date values in: |accessdate= (help)