Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1952

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1952 ulikuwa wa 42 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 4 Novemba. Upande wa "Republican Party", Dwight Eisenhower (pamoja na kaimu wake Richard Nixon) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Adlai Stevenson II (pamoja na kaimu wake John Sparkman).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Eisenhower akapata kura 442, na Stevenson 89. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.