Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1868

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1868 ulikuwa wa 21 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Republican Party", Ulysses Grant (pamoja na kaimu wake Schuyler Colfax) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Horatio Seymour (pamoja na kaimu wake Francis Blair).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Grant akapata kura 214, na Seymour 80. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.