UNCTAD

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makao makuu ya UNCTAD,Geneva

UNCTAD au United Nations Conference on Trade Development (far. Conférence des Nations unies sur le commerce et le développement, CNUCED) ni taasisi ya Umoja wa Mataifa inayolenga kupunza vizuizi vya biashara ya kimataifa hasa baina nchi za viwanda na nchi zinazoendelea.

Makao makuu yako mjini Geneva (Uswisi). Mkutano mkuu hufanywa kila baada ya miaka 4.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu "UNCTAD" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.