Sista

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Masista katika maandamano wakivaa kanzu.

Sista (kutoka Kiingereza sister, yaani dada) ni neno la mkopo linalotumika katika lugha ya Kiswahili hasa kumaanisha mtawa wa kike, yaani mwanamke aliyewekwa wakfu alipoahidi kushika mashauri ya Kiinjili ya useja mtakatifu, ufukara na utiifu.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine