Siku ya Arafah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Siku ya Arafah

Siku ya Arafah (kwa Kiarabu يوم عرفة, Yawm ‘Arafah) ni maadhimisho ya Kiislamu yanayofanyika katika siku ya tisa ya mwezi wa Dhu al-Hijjah kwa mujibu wa Kalenda ya Kiislamu.[1] Ni siku ya pili ya kufanya Hijja na mwanzo wa kusherehekewa kwa sikukuu ya Eid el Adha.[2] Katika siku hiyo mahujaji wa Kiislamu huelekea katika eneo la Minna katika Mlima Arafah na tambarare yake katika eneo ambalo Mtume Muhammad alitoa hotuba yake ya mwisho ya kuaga.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Sheikho, Mohammad Amin (1783). Pilgrimage Hajj: The Fifth High Grade of Al-Taqwa: Volume 5. CreateSpace Independent Publishing Platform. 
  2. "Eid al-Adha 2016 – What is the Day of Arafah before the Eid celebrations and why is it so important?", birminghammail.co.uk. Retrieved on 11 September 2016. 
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.