Sabina Wanjiru Chege
Sabina Wanjiru Chege
Jinsia | mwanamke |
---|---|
Nchi ya uraia | Kenya |
Jina halisi | Sabina |
Tarehe ya Kuzaliwa | 10 Agosti 1978 |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kiingereza, Kikikuyu, Kiswahili |
Kazi | politician |
Nafasi ilioshikiliwa | Member of the National Assembly, Member of the National Assembly |
Alisoma | Chuo Kikuu cha Nairobi |
Honorific prefix | The Honourable |
Mwanachama wa chama cha siasa | National Alliance Party of Kenya |
Kabila | Wagikuyu |
Described at URL | http://www.parliament.go.ke/the-national-assembly/members/item/3950-hon-chege-maitu-sabina-wanjiru |
Sabina Wanjiru Chege (22 Agosti 1978) ni mwanasiasa kutoka Kenya,muigizaji na mtangazaji wa zamani wa radio na Runinga, mwaka 2013 hadi 2022 alihudumu kama mbunge katika kaunti ya Muranga