Pisidia

Majiranukta: 37°18′N 30°18′E / 37.3°N 30.3°E / 37.3; 30.3
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Pisidia katika Anatolia wakati wa Ugiriki wa Kale na Roma ya Kale.

Pisidia (kwa Kigiriki: Πισιδία, Pisidía) ilikuwa eneo la rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki) kaskazini kwa Lycia.

Kadiri ya Matendo ya Mitume, Mtume Paulo pamoja na Barnaba walifanya umisionari huko.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Bean, G. E. “Notes and Inscriptions from Pisidia. Part I.” Anatolian Studies, vol. 9, 1959, pp. 67–117. JSTOR, www.jstor.org/stable/3642333. Accessed 24 Apr. 2020.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

37°18′N 30°18′E / 37.3°N 30.3°E / 37.3; 30.3