Peter Mahamudu Msolla

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Peter Mahamudu Msolla (amezaliwa tar. 6 Mei 1945) ni mbunge wa jimbo la Kilolo katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. Mengi kuhusu Peter Mahamudu Msolla (18 Februari 2008). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.