Oum Hadjer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mwanamume wa Chad 2019 akinywa maji machafu kutoka kwenye hifadhi ya mto Batha huko Oum-Hadjer
Mwanamume wa Chad 2019 akinywa maji machafu kutoka kwenye hifadhi ya mto Batha huko Oum-Hadjer

Oum Hadjer ni mji uliopo katika mkoa wa Batha nchini Chad.

Mwaka 2009 idadi ya watu ilikadiriwa kuwa 26,552 [1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Major Cities, Republic of Chad, tovuti ya citypopulation.de
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Oum Hadjer kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.