Oscar Fanuel Joshua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Oscar Fanuel Joshua
Maelezo binafsi
Jina kamili Oscar Fanuel Joshua
Tarehe ya kuzaliwa 6 Aprili 1986 (1986-04-06) (umri 37)
Mahala pa kuzaliwa    Morogoro, Tanzania
Maelezo ya klabu
Klabu ya sasa Yanga Sc
Namba 3

* Magoli alioshinda

Oscar Fanuel Joshua (alizaliwa 1986) ni mchezaji wa kandanda kutoka Tanzania akicheza nafasi ya beki wa kushoto. Pia anaichezea klabu mashuhuri nchini Tanzania Yanga S.C.

Kuhusu timu ya taifa[hariri | hariri chanzo]

Oscar amewahi kuitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania huku akicheza michezo 14 ya Timu ya taifa (Taifa stars) mchezo wa mwisho kucheza Oscar wa timu ya Taifa ulikuwa ni mchezo kati ya Taifa Stars dhidi ya Misri ambapo Taifa stars ilifungwa magoli matatu bila katika mchezo huo

Klabu alizowahi chezea[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Oscar Fanuel Joshua kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.