Nobuko Kondo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nobuko Kondo (alizaliwa 1 Desemba 1956) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu nchini Japani.Nobuko aliwahi kuchezea timu ya taifa ya wanawake ya Japani.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nobuko Kondo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.