Mzee Ngwali Zubeir
Mzee Ngwali Zubeir (amezaliwa tar. 4 Februari 1963) ni mbunge wa jimbo la Mkwajuni katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Mengi kuhusu Mzee Ngwali Zubeir". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. Unknown parameter
|=
ignored (help)
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |