Muisi Ajao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Muisi Ajao (alizaliwa 2 Desemba 1978) ni mchezaji wa zamani wa soka kutoka Nigeria.

Ameshacheza mechi chache katika timu ya taifa ya Nigeria na amecheza katika ligi ya Ubelgiji[1] na Ligi Kuu ya Afrika Kusini. Amewahi kucheza katika vilabu nchini Singapore, Qatar, na China.

Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Tarehe 16 Septemba 2001, Ajao alicheza mechi yake ya kwanza katika Timu ya taifa ya soka ya Nigeria dhidi ya Korea Kusini katika mchezo uliomalizika kwa kufungwa 1-2.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

  • soccernetindia.com
  • "Anacheza nchini India". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 26 Julai 2011. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2008.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Unknown parameter |df= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Muisi Ajao kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.