Muhyiddin Yassin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Muhyiddin bin Haji Muhammad Yassin (amezaliwa 15 Mei 1947) ni mwanasiasa wa Malaysia ambaye anatumikia kama Waziri Mkuu wa 8 wa Malaysia tangu Machi 2020.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Muhyiddin Yassin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.