Mto Otin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa mto Mto Otin,Nigeria

Mto Otin ni mto nchini Nigeria unaopatikana katika Jimbo la Osun.[1]

Chanzo chake ni mji wa Odo-Otin uliopo Kaskazini-Mashariki mwa Jimbo la Osun.

Mkondo wake ni mita za ujazo 2684. Njia yake ni km 36. Mto huu ni tawimto la Mto Erinle.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.geonames.org/2325478/river-otin.html

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Otin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.