Mto Nthunguthu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Nthunguthu hupatikana katika kaunti ya Kitui, mashariki mwa Kenya. Nthunguthu ni jina la kiasili la korongo. Nthunguthu ni kijito cha katikati[1] kinachojumuishwa katika kikundi H kihaidrolojia (class H - Hydrographic)[2].

Maji yake yanaishia katika mto Tana, ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika bahari ya Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]