Mto Migori (Gucha)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mto Migori)

Mto Migori unapatikana nchini Kenya. Ni tawimto la mto Gucha ambao unaishia katika ziwa Viktoria, ukichangia hivyo mto Naili na hatimaye Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]